One thing personally najua
Ni that our love ni maua
Na hakuna kitu kitayaua
Leave alone kukuchukua
It's so deep, doo haziwezi nunua
Na kwa madem soo bado nitakuchagua
Heri nipoteze rada kama Gachagua
Juu wakileta noma, maneno nitafyatua
Halafu sahi nikama nishajua
Hii yote ni Mungu amejibu dua
Siamini ati ni mimi ushaamua
Sitaki mchanga uingie kwa kitumbua
Kama vile ilimess love ya Wambua na Kambua
Kwa hizo deepfaked videos akimnyandu***
Babe, I know kuna day hii love itakua
So sweeter than avocado na muwa
Na tena perfect, juu rohoni ushatua
We're here to stay, hiyo niko sure
Hata kama itamean kuishi kwa mashua
Juu kwa jangwa langu wewe ndio mvua
Hiyo tena ninaswear, nikisema niko sure
Kama bet, nimerisk juu najua niko sure
|4-U|
-